Psalms 30:1

Maombi Ya Shukrani

Utenzi Wa Kuweka Wakfu Hekalu (Zaburi Ya Daudi)


1 aNitakutukuza wewe, Ee Bwana,
kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi,
na hukuacha adui zangu
washangilie juu yangu.
Copyright information for SwhKC